Ujenzi wa tanki la maji katika mradi wa maji Kichangani ukiendelea katika Halmashauri ya Kondoa Mji
Mkandarasi wa mradi wa Kichangani akimwonyesha Mkurugenzi mabomba yaliyofika eneo la mradi mtaa wa Tura tayari kwa kutandazwa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kondoa Mji Khalifa Kondo mwenye kofia akipokea maelezo kutoka kwa msimamizi wa mradi wa maji katika mtaa wa Kwapakacha.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kondoa Mji Khalifa Kondo mwenye kofia akishuhudia wananchi wa mtaa wa Kwapakacha wakichota maji kwenye kisima wakisubili kuunganishiwa miundombinu ya maji katika maeneo yao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...