MSHAMBULIAJI wa Timu ya Jamhuri mwenye jezi ya njano Mussa Ali na beki wa Timu ya Mwenge Haysam Khamis wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi ilioaza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Jamhuri Mussa Ali akimpita beki wa Timu ya Mwenge Yussuf Ali, katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi linalofanyka katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mwenge ikiongoza kwa bao 1-0 kipindi cha pili cha mchezo. Picha na Othman Maulid Mapara
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...