Mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINE MNDEME amemsimamisha kazi Mkandaras RUKOLO kwa kushindwa kutimiza majukumu yake kwa wakati inayopelekea wakazi wa wilaya ya Songea kupata shida. RC amemfutia mkataba mkandarasi huyo na kuagiza asipewe tena tenda ya kutengeneza barabara za mkoa wa RUVUMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...