Ikiwa zimesalia siku 10 kuelekea Mashindano ya Taifa Cup kwa timu za kikapu nchini, tayari timu zimeshawasilisha  maombi ya ushiriki wao.

Timu hizo kutoka sehemu mbalimbali nchini zimeweza kutuma maombi yao kwa timu za wanaake pamoja na wanaume.

Taifa cup confirmation
1. Mbeya Male and Female
2. Rukwa Male
3. Mtwara Male
4. Dream Team Male & Female
5. Dar City Male & Female
6. Dodoma Male & Female
7. Tabora Male & Female
8. Iringa Male & Female
9. Kusini Unguja Male
10. Mara Male
11. Shinyanga Male & Feml
12. Morogoro Male
13. Unguja Kaskazin Male & Female

14. Songwe Male
15. Arusha Male
16. Lindi Male
17. Singida Male
18. Tanga Male & Female
19. Manyara Male
20. Songea Male
21. Kighoma Male & Female

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...