Nyumba inauzwa mil.30 Eneo la Chamazi Saku, Wilaya ya Temeke,Dar es Salaam Ina Vyumba 3 ,Jiko na stoo yake (Food pantry), sitting room, Dinning, vyumba viwili ni master bedroom pia Kuna common bath na toilet na eneo dogo lina baki kwa ajili ya ku park gari kwa anayehitaji kupaona awasiliane na Ndugu Duke Gervalius Tel +255 767 111 020 na kama upo USA piga simu 210 784 9204
Kiwanja kina ukubwa wa Square Fit 70 urefu na Square Fit 60 upana

Kina Hati ya Mauziano ya serikali ya kijiji/mtaa pia Risiti za TRA zipo kinalipiwa kila mwaka Leseni ya makazi.Hivyo mnunuzi atanzia hapo kufatilia kupima kiwanja ofisi za Ardhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...