Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Andrew Chenge  akiongoza kikao cha nne cha mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Madini Mhe.Stanslaus Nyongo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa kikao cha nne cha cha mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Jumaa Aweso akijibu hoja mbalimbali za wabunge wakati wa kikao cha nne cha cha mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Mbunge wa Viti Maalum(CCM) Iringa Mhe.Rose Tweve akiuliza swali wakati wa kikao cha nne cha cha mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Stella Manyanya akijibu hoja mbalimbali za wabunge wakati wa kikao cha nne cha cha mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira,Vijana na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akimsikiliza Mbunge wa Bunda Mjini Mhe. Ester Bulaya wakati wa kikao cha nne cha cha mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof Elisante Ole Gabriel na Viongozi waandamizi wa Wizara hiyo wakifuatilia shughuli mbalimbali za Bunge leo Mjini Dodoma.


Picha zote na Daudi Manongi, MAELEZO,DODOMA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...