Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim (kushoto) akikabidhi mashine maalum za kuwasaidia Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), kwa Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti, Doris Mollel ambazo zimetolewa na Ubalozi huo jana jijini Dar es salaam. Wengine pichani ni Rahma Amoud na Maryam Gerion wote kutoka Taasisi ya Doris Mollel.
The Ambassador of Kuwait to Tanzania, HE Jassim Al-Najim (L) handing over the machines for preterm Babies, to the Founder of Doris Mollel Foundation, Doris Mollel, at the Kuwait Embassy Office in Dar es salaam Yesterday. Others are Rahma Amoud and Maryam Gerion all from the Doris Mollel Foundation.
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim akiwa katika mazungumzo na Ujumbe kutoka Taasisi ya Doris Mollel, uliomtembelea ofisini kwake, Jijini Dar es salaam jana.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...