Kamati
ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imefanya ziara ya
kutembelea mkoa wa Kigoma kwa ajili ya kukagua miradi ya maji na
umwagiliaji inayotekelezwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa lengo la
kujionea maendeleo na changamoto ya kazi zinazofanywa na wizara hiyo
kuelekea Bunge la Bajeti Mwaka 2018/19.
Kamati hiyo imetembelea Manispaa ya Kigoma na Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kujionea mradi mkubwa wa majisafi na majitaka na eneo linalotarajiwa kujengwa skimu ya umwagiliaji.Ziara hiyo imehusisha wajumbe wa kamati 18 ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mahmoud Mgimwa, Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo.
Kamati hiyo imetembelea Manispaa ya Kigoma na Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kujionea mradi mkubwa wa majisafi na majitaka na eneo linalotarajiwa kujengwa skimu ya umwagiliaji.Ziara hiyo imehusisha wajumbe wa kamati 18 ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mahmoud Mgimwa, Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo.
Mhandisi
Mkazi wa Kampuni ya GKW Consul, Michael Mwamkinga akitoa taarifa mbele
ya wajumbe wa kamati, kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati, Mahmoud
Mgimwa, Mkuu wa Wilaya ya KIgoma, Samson Anga na Naibu Waziri wa Maji na
Umwagiliaji, Jumaa Aweso katika chanzo cha maji cha Amani Beach,
Kigoma.
Mwenyekiti wa Kamati, Mahmoud Mgimwa (katikati) na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso wakiwa pamoja na wajumbe wa kamati na wataalamu kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji katika eneo la kuendeshea mitambo.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakiangalia maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa maji wa Kigoma Mjini.

Moja ya bwawa la majitaka katika eneo la Luiche ambapo kumejengwa mradi wa majitaka wilayani Kigoma.
Mwenyekiti wa Kamati, Mahmoud Mgimwa (katikati) na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso wakiwa pamoja na wajumbe wa kamati na wataalamu kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji katika eneo la kuendeshea mitambo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakiangalia maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa maji wa Kigoma Mjini.
Moja ya bwawa la majitaka katika eneo la Luiche ambapo kumejengwa mradi wa majitaka wilayani Kigoma.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...