Mhe Stanislaus Mabula Leo amemkabidhi tenki kubwa la maji Diwani mteule Kata ya Isamilo Mhe Charlse Nyamasiriri linaloweza kuhifadhi lita 10000 za maji kwa ajili ya shule ya Secondari ya Ole Njoolay iliyopo Kata ya Isamilo. Hii ni sehemu ya ya utekelezaji wa mkakati wa kuondoka kero za tatizo la maji katika shule za msingi na sekondari Jiji la Mwanza.

Makabidhiano hayo yamefanyika ofisini za mbunge Jimbo la Nyamagana.
Mwanza kwanza, Tukutane kazini
Tulianza na Mungu, tutaendelea na Mungu

Imetolewa na,
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Nyamagana🇹🇿 @ Mwanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...