Meneja
wa Tawi la NBC mjini Moshi, Salma Yatera (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili
wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa
washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo
yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. Anayeangalia ni Mkurugenzi wa
Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika
kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Meneja Masoko wa NBC (kutoka kushoto), Meneja wa NBC Tawi
la Moshi, Salma Yatera, mshindi wa zawadi ya gari jipya aina ya Suzuki Carry ya
kameni ya akaunti ya Malengo, Lucina Massawe na Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa
benki hiyo, Flbert Mponzi, wakishangilia mara baada ya mshindi huyo kukabidhiwa
gari lake mjini Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari
sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Meneja
wa Tawi la NBC mjini Moshi, Salma Yatera (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili
wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa
washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika
Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika
kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Mkurugenzi
wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili
wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa
washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika
Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika
kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi
(kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa
Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya
Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi
karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa
muda wa miezi mitatu. Kulia ni Meneja wa NBC Tawi la Moshi, Salma Yatera.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...