Mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME amendesha zoezi la upandaji miti aina ya mitiki katika wilaya ya nyasa na mkumwagiza mkuu wa wilaya ya nyasa ISABELLAH CHILUMBA pamoja nakamati yake ya ulinzi na usalama kuwamata watu waliovamia milima ya livingstoni na kuharibu misitu kwa kuchoma moto.HABARI MAKILI HII HAPA VIDEO YAKE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...