Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Utafiti ya REPOA, Dr. Donald Mmari akizungumza kuhusu matokeo ya utafiti wa Afro Barometer kuwa hali ya uchumi nchini ambapo matokeo yake yameonesha kuwa Wananchi wengi wameridhishwa na hali ya kukua kwa uchumi nchini huku wakipongeza upatikanaji wa elimu bure.
 Mtafiti kutoka Repoa, Thadeus Mboghoma akieleza baadhi ya matokeo ya utafiti huo katika nyanja ya ukuaji wa uchumi na matarajio ya watanzania kwa serikali ya sasa.
 Dr Lucas Katera kutoka Repoa ambaye alikuwa akiongeza mjadala kuhusu matokeo ya utafiti huo wa hali ya uchumi nchini akichangia jambo wakati wa mjadala .
 Mtafiti kutoka Repoa, Stephene Mombela akifanya mawasilisho ya Tafiti ya Afro Barometer  iliyohusu hali ya Uchumi nchini ambayo imeonesha kuwa Wananchi wamekiri kuwa Uchumi katika serikali hii unapanda
 Msomi na Mtafiti , Profesa Mwesigwa Baregu (Katikati) akichangia mada wakati wa mjadala wa matokeo ya utafiti wa Afro Barometer.
 Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Utafiti ya REPOA, Dr. Donald Mmari  akichangia katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Afro Barometer ambao umeonesha kuwa idadi kubw aya Watanzania wameridhishwa na ukuaji wa uchumi hapa nchini
Sehemu ya Washiriki katika Matokeo yaya utafiti wa Afro Barometer ambao umeonesha kuwa idadi kubw aya Watanzania wameridhishwa na ukuaji wa uchumi hapa nchini
--

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...