Kumekucha: Fomu za kushiriki mashindano ya Miss Tabora zitaanza kutolewa tarehe 02/05/2018 hadi tarehe 20/05/2018 katika ofisi zote za utamaduni za Wilaya na Halmashauri za Mkoa wa Tabora. 

Auditions kwa Wilaya zote zitaanza kufanyika tarehe 21.05.2018 hadi tarehe 04.06.2018.

Warembo wote 16 watakaokidhi vigezo wataingia kambini na kupata mafunzo mbalimbali na kushiriki kampeni na shughuli za kijamii wakisubiria fainali tarehe 07/07/2018.

Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa habari zaidi za Miss Tabora 2018.

@genevieve.tz 
@genevieve_updates
@newmisstanzania
@genampangala

👑👑👑👑👑

#MissTabora2018 
#UremboNiMalengo
#UremboNaKaziKwaMaendeleoYaJamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...