Simba wameibuka washindi kwenye mechi dhidi ya mahasimu wao Yanga sasa unawafanya Wekundu Wa Msimbazi kuhitaji pointi 5 kutawazwa mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara.
Kikosi cha Timu ya Yanga
Kikosi cha Timu ya Simba
Shabiki wa Yanga akiwa ahamini kilichotokea
Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia kwa furaha mara baada ya timu yao kufunga goli
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...