Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa RUVUMA imeokoa zaidi ya shilingi milioni 21 ikiwa ni marejesho yaliyolipwa kwa watumishi hewa kwenye Idara ya afya.Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa RUVUMA, OWEN JASSON amesema fedha hizo imeokolewa katika kipindi cha Januari mpaka Machi mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...