Wadau wa soka na wakeleketwa wa timu ya NDANDA SC wamewaomba wadau wa timu hiyo ndani ya mkoa wa Lindi , Mtwara na Tanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi katika kuisaidia timu hiyo kwa michango pamoja na uwajani pindi timu yao inapocheza.
Wadau hao wamesema kufanya hivyo itayosaidia kuongeza hamasa kwa wachezaji sambamba nakuingiza mapato kwaajili ya uendeshaji wa timu yao.
Home
Unlabelled
WAKEREKETWA WA NDANDA TUSIKATE TAMAA TUSHIKAMANE,TUISAIDIE TIMU YETU ISISHUKE DARAJA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...