Wateja wa vinywaji vya kampuni ya Coca-Cola katika mikoa ya Kilimanjaro na Mwanza waliojishindia zawadi kupitia promosheni ya kampuni hiyo inayoendelea ya ‘Mzuka wa Soka na Coka’wamekabidhiwa zawadi zao.Promosheni hiyo inawezesha kujishindia luninga za kisasa, Pikipiki, fedha taslimu, soda za zawadi nyinginezo.
Meneja Mkuu wa Masoko na Mauzo ya Kiwanda cha Bonite Bottlers ,Christopher Loiruk akikabidhi zawadi za pikipiki kwa washindi, Andrea Tarimo na Elizabeth Msangi, katika hafla iliyofanyika mjini Moshi.
Eric Masawe wa Sambarai Moshi akipokea kitita cha shilingi 100,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Fedha wa Bonite Bottlers,Ramadhan Ananth.
Meneja wa chapa ya Coca-Cola nchini, Sialouse shayo, akikabidhi zawadi za luninga kwa washindi
Meneja wa chapa ya Coca-Cola nchini, Sialouse shayo,akikabidhi zawadi za luninga kwa washindi
Wakazi wa Mwanza, Ibrahim Martin na Nyamaili Werema wakiwa na luninga zao baada ya kukabidhiwa katika hafla iliyofanyika Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...