Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Najma Giga (kushoto) akimsikiliza na mgeni wake Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu Mhe. Onyango kakoba (kulia) alipomtembelea leo katika Ofisi ya Bunge Mjini Dodoma. 
 Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Najma Giga (kulia) akisalimiana na mgeni wake Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu Mhe. Onyango kakoba (kushoto) alipomtembelea leo katika Ofisi ya Bunge Mjini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu Mhe. Onyango kakoba, akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuzungumza na Wabunge wawakilishi kwenye Jukwaa la Kibunge kwenye nchi za Maziwa Makuu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Tanzania katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.

Baadhi ya Wabunge wawakilishi kwenye Jukwaa la Kibunge kwenye nchi za Maziwa Makuu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mhe. Najma Giga (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wageni wao Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu Mhe. Onyango kakoba (wa pili kushoto) na msaidizi wake Ndg. Jenny Mbodi (kulia)

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...