Meneja wa Benki ya Exim tawi la Mwanza Deo Makwaia, akizungumza na wateja wa benki hiyo wa jijini Mwanza wakati wa hafla ya Futar iliyoandaliwa na benki hiyo.
 Mkurugenzi wa jiji la Mwanza Kiomoni Kibamba,akichukua Futar, wakati wa hafla ya  kufuturu iliyoandaliwa na benki hiyo jijini humo. 
 Wateja wa Benki ya Exim Mwanza wakichukua Futar, wakati wa hafla ya  kufuturu iliyoandaliwa na benki hiyo juzi.
Wateja wa Benki ya Exim wakifuturu, wakati wa hafla ya  futar iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Mwanza juzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...