Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akikagua Gwaride maalum la vijana wa kujitolea waliomaliza mafunzo ya miezi minne ya kijeshi katika kikosi cha 842 Kj Mlale wilayani Songea ambapo jumla ya vijana 966 walimaliza mafunzo ya kijeshi na ujasiriamali katika kikosi hicho.
 Baadhi ya vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi na ujasiriamali katika kikosi cha 842 Kj Mlale Operesheni Mererani wakipita kwa mwendo wa haraka mbele ya mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme(hayupo pichani)wakati wa kuhitimu mafunzo yao ya miezi minne katika kikosi hicho.
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiongea na vijana,wazazi,Askari na maafisa mbalimbali wa jeshi la kujenga Taifa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika kikosi cha 842 wakati wa kufunga mafunzo ya miezi minne ya kijeshi na Ujasiriamali kwa vijana 966 waliohitimu mafunzo yao jana,kushoto kwake ni mkuu wa kikosi cha 842 Kj Mlale Luten Kanal Absomlomon Shausi.Picha na Muhidin Amri
 Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiangalia Tikiti maji katika Bustani ya kikosi cha 842 Kj Mlale JKT mkoani Ruvuma alipokwenda kwa ajili ya kufunga mafunzo   ya vijana Operesheni Mererani jana.
 Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akitoa kitambaa kama Ishara ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la mradi wa ufugaji Kuku katika kikosi cha 842 Kj Mlale mkoani Ruvuma,anayemsaidia  kuondoa kitambaa ni mkuu wa kikosi  hicho    Lutewn Kanali Absolomon Shausi.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...