Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, wakiwa katika mkutano ulioendeshwa kwa kwa njia ya video kwa kuunaga na wadau waliokuwepo Dodoma, Arusha na Nairobi nchini Kenya, wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Wakala wa Mafunzo kwa njia ya Mtandao (TaGLA), uliopo kwenye Jengo la Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mafunzo kwa njia ya Mtandao (TaGLA), Charles Senkondo akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, waliofanya ziara kwenye ofisi zao, zilizopo kwenye Jengo la Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), jijini Dar es salaam leo.
Sehemu ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, wakifatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye Mkutano huo.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Venance Mwamoto (picha ya kushoto) akiuliza swali katika Mkutano huo kupitia teknolojia video.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...