Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) katika picha ya pamoja na Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma, watatu toka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ndg. Theobald Sabi na wapili kulia ni Mbunge wa Kilolo Mhe. Venance Mwamoto.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akiagana na Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma. PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...