Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi akizungumza jambo na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China, Xu Chen wakati wakati wa mkutano baina yao uliofanyika ubalozi wa China Alhamisi Mei 31, 2018 Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Rodney Thadeus akizungumza jambo wakati wa wakati baina ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi ((katikati) na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China, Xu Chen uliofanyika Alhamisi Mei 31, 2018 Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi akisaini mkataba ya makabidhiano ya vitendea kazi ikiwemo vifaa mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya Ofisi ya Idara hiyo mara baada ya kumaliza kwa mkutano baina yake na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China, Xu Chen (kulia) uliofanyika Alhamisi Mei 31, 2018 Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi akipokea sehemu ya vitendea kazi vilivyotolewa na Ofisi ya Ubalozi wa China kupitia kwa Afisa Mwandamizi wa Ubalozi huo, Xu Chen mara baada ya kumalizika kwa mkutano baina yao uliofanyika Mei 31, 2018 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dkt. Hassan Abbasi akiagana na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China, Xu Chen mara baada ya kumalizika kwa mkutano baina yao uliofanyika leo Alhamisi Mei 31, 2018 Jijini Dar es Salaam. PICHA NA ELIPHACE MARWA-MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...