Mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME ametoa siku saba kwa vyama vya msingi vya chama kikuu cha ushirika (TAMCU) wilaya ya TUNDURU mkoani humo kuwalipa wakulima wa korosho milioni mia mbili ambazo wanadai.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...