Kamishna wa Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma Wizara ya Fedha na Mipango, Dk.Frewdrick Mwakibinga akizungumza kuhusu Kongamano la Kimataifa la Ununuzi wa Umma linalo tarajia kufanyika Agosti 8 mpaka 10 Jijini Arusha ,ambapo litaweza kuzikutanisha nchi zaidi ya 50 kutoka kila pembe ya Dunia.
 Afisa Uhusiano kutoka Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi PSPTB, Shamimu Mwasha akizungumza jambo wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari juu ya kongamno hilo kubwa litakalo fanyika nchini.
 Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi kutoka tasisi mbalimbali zilizopo chini ya Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa kamati hiyo ya Maandalizi
 Kamishna wa Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma Wizara ya Fedha na Mipango, Dk.Frewdrick Mwakibinga ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa kimataifa wa Masuala ya Manunuzi akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...