JOSEPH MPANGALA , MTWARA
Kampuni ya Mtandao wa sim TTCL Cooperation Imeendelea Kutoa na Kusajili line za sim Bure ili kuwawezesha wateja wake wapya kuweza kuwasilina kwa bei nafuu pamoja na kujiunga na vifurushi vya Internet.
Akiongea katika Kiwanja Cha mashujaa kilichopo mkoa wa mtwara katika Promosheni ya NYAKA NDINGA inayoendeshwa na kituo cha Radio cha EFM/TVE Meneja wa Mkoa Mhandisi Rumishael f. Temba anasema TTCL imeanzisha Bando kwa ajili ya internet ambayo wateja wengi wamekuwa wakiyapenda na Kuyatumia kwa wingi.
“Katika Upande wa mabando kwa TTCL ambayo wateja wake wanayapenda zaidi ni Boom Pack kwa ajili ya wanachuo,Serereka Bando la Kijanja ambalo kila mwananchii anaweza kulipata kwa bei nafuu pamoja na bando la Toboa”
Aidha TTCL imetambulisha Huduma ya T-pesa kwa mtandao ambapo unaweza kutumia kulipia Huduma ya LUKU bila ya kuwa na gharama za ziada.
Kampuni ya Mtandao wa sim TTCL Cooperation Imeendelea Kutoa na Kusajili line za sim Bure ili kuwawezesha wateja wake wapya kuweza kuwasilina kwa bei nafuu pamoja na kujiunga na vifurushi vya Internet.
Akiongea katika Kiwanja Cha mashujaa kilichopo mkoa wa mtwara katika Promosheni ya NYAKA NDINGA inayoendeshwa na kituo cha Radio cha EFM/TVE Meneja wa Mkoa Mhandisi Rumishael f. Temba anasema TTCL imeanzisha Bando kwa ajili ya internet ambayo wateja wengi wamekuwa wakiyapenda na Kuyatumia kwa wingi.
“Katika Upande wa mabando kwa TTCL ambayo wateja wake wanayapenda zaidi ni Boom Pack kwa ajili ya wanachuo,Serereka Bando la Kijanja ambalo kila mwananchii anaweza kulipata kwa bei nafuu pamoja na bando la Toboa”
Aidha TTCL imetambulisha Huduma ya T-pesa kwa mtandao ambapo unaweza kutumia kulipia Huduma ya LUKU bila ya kuwa na gharama za ziada.
Meneja wa Mkoa TTCL Cooperation Mhandisi Rumishael f.Temba
akiongea na Wananchii kuhusina na Huduma Zinazotolewa na kampuni Hiyo wananchii
waliokuja katika Promosheni ya Nyaka Ndinga Inayoendesha na EFM na TVE.
Baadhi ya wateja wakiwa wamezunguka Banda la TTCL kwa
ajili ya kupata Huduma mbalimbali zinazotolewa na Kampuni hiyo.
Meneja wa Mkoa TTCL Cooperation Mhandisi Rumishael f.Temba
akitoa zawadi kwa Washiriki Kumi watakaokwenda Dar es Salaam kwa ajili ya
shindano kubwa la promosheni ya Nyaka Ndinga.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...