Wabunge
hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chapter ya Tanzania hivi kariuni wamezuru Ubalozi
wa Tanzania Tokyo,nchini Japan,wakiwa kwenye ziara ya wiki moja nchini humo. Pichani
kushoto ni Ndugu Charles Mchome ambaye ni Mtanzania anayeishi Japan na
ni Mdau wa globu ya Jamii.
Pichani
kushoto ni Dkt Abdullah Hasnuu Makame,Balozi Mathias Chikawe,Mheshimiwa
Josephine Lemoyan pamoja na Mhandisi Mohamed Habib Mnyaa wakiwa katika
picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...