Wabunge hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chapter ya Tanzania hivi kariuni wamezuru Ubalozi wa Tanzania Tokyo,nchini Japan,wakiwa kwenye ziara ya wiki moja nchini humo. Pichani kushoto ni Ndugu Charles Mchome ambaye ni Mtanzania anayeishi Japan na ni Mdau wa globu ya Jamii.
Pichani kushoto ni Dkt Abdullah Hasnuu Makame,Balozi Mathias Chikawe,Mheshimiwa Josephine Lemoyan pamoja na Mhandisi Mohamed Habib Mnyaa wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...