Wananchi wa vijiji vya Litisha, Mdundualo na Lugagara katika halmashauri ya wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, wamekanusha taarifa zilizosambaa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba kuna zahanati zao zimefungwa kwa kukosa wahudumu wa Afya na nyingine kufunguliwa duka.
Home
Unlabelled
WANANCHI WA VIJIJI VYA LITISHA, MDUNDUALO NA LUGAGARA SONGEA MKOANI RUVUMA WATOLEA UFAFANUZI WA KUFUNGWA VITUO VYA AFYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...