Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage,  akimkabidhi Tuzo ya Mshindi wa pili wawakilishi wa Kampuni ya PLASCO Ltd, kutoka (kushoto) Unguu Sulay, Edith James na Alimiya Osman, wakati wa hafla ya Tuzo za 13 za Rais za Viwandani, (PMAYA) iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo mchana. Picha zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, (wa pili kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mshirika wa Taasisi ya Kaizen Tanzania, James Alva, wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho katika hafla ya utoaji Tuzo za 13 za Rais za Viwandani, (PMAYA) iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akimkabidhi Tuzo ya Mshindi wa jumla Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL Group, Roberto Jarrin, wakati wa hafla ya Tuzo za 13 za Rais za Viwandani, (PMAYA) iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akimkabidhi Tuzo ya Mshindi wa kwanza katika Makampuni matatu makubwa (TOP 3) Meneja wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Helene Weesie, wakati wa hafla ya Tuzo za 13 za Rais za Viwandani, (PMAYA) iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akimkabidhi Tuzo Meneja Rasilimali watu  wa Kampuni ya Alaf Tanzania, Daphne Kakonge, wakati wa hafla ya utoaji tuzo za Rais za Viwandani. 

Afisa Masoko wa Kampuni ya Alaf Tanzania, Theresia Mmasy, akipokea cheti cha shukrani wakati wa hafla hiyo.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...