Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani Dkt. James Mtamakaya kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (wa nne kutoka kulia) akiangalia mojawapo  ya alama iliyoharibika katika Kijiji cha Nyakalima wilayani Tarime mkoani Mara wakati wa ukaguzi wa kazi  inayoendelea ya uimarishaji wa mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya. Kazi hii inayohusisha nchi zote mbili ilianza Machi mwaka huu na inatarajiwa kukamilika mwezi ujao.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Nyanza nchini Kenya Bw. Moffat Kangi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...