Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt .Steven Kabwe (kushoto) akizungumza katika mkutano wa baraza la wafanyakazi la NIC mkoani Morogoro mwishoni wa wiki.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Sam Kamanga.
Picha ya pamoja ya baraza la wafanyakazi walioshiriki katika mkutano huo.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Steven Kabwe na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Sam Kamanga.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Dkt. Steven Kabwe (katikati) akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa NIC
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...