Mtaalamu
wa Huduma za Kidigitali wa Benki ya Barclays Tanzania (BBT), Jesse
Jackson (katikati), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa
uzinduzi wa huduma za kinbenki kwa njia mtandao wa intaneti kwa wateja
wadogo na wa kati jijini Dar esSalaam jana. Kushoto ni Msimamizi wa
Hduma za Kidigitali, Emmanuel Wangwe na Mkuu wa Kitengo cha Wateja
Wadogo na Wakati, Ahmed Khamis.
Home
HABARI
Benki ya Barclays yazindua huduma za kibenki kwa njia ya mtandao kwa wateja wake wadogo na wa kati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...