Mtaalamu wa Huduma za Kidigitali wa Benki ya Barclays Tanzania (BBT), Jesse Jackson (katikati), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma za kinbenki kwa njia mtandao wa intaneti kwa wateja wadogo na wa kati jijini Dar esSalaam jana. Kushoto ni Msimamizi wa Hduma za Kidigitali, Emmanuel Wangwe na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na Wakati, Ahmed Khamis. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...