Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (kushoto) akikabidhi jezi kwa Afisa Mipango wa Magereza Dar FC, Insp. William Mkamba (wa pili kushoto) ikiwa ni sehemu ya udhamiwa wa Benki hiyo kwa timu ya Magereza Dar FC. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu pamoja na Koplo Jaffar kutoka Mageteza.
Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu akizungumza jambo na Afisa Mipango wa Magereza Dar FC, Insp. William Mkamba pamoja na Koplo Jaffar kutoka Mageteza, baada ya kuwakabidhi jezi ya timu ya timu ya Magereza Dar FC.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...