Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei (wa tatu toka kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa (wa kwanza kushoto) pamoja Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Mkwawa Iringa wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Tawi hilo wakati wa ziara ya Mkurugenzi huyo kutembelea matawi ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya aliyoifanya mwishoni mwa wiki iliyopita. Picha zote na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) akielekezwa jambo na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa wakati walipofika katika tawi la Mkwawa -Iringa kujionea utendaji kazi.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei (kulia) akipata maelezo machache kutoka kwa meneja wa Tawi la Mkwawa - Iringa Kissa.
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dkt. Charles Kimei akiwaafa wafanyakazi wa Tawi la Mkwawa - Iringa.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa (wa pili kulia) huku akishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei (Kulia) wakati walipofika kumtembelea katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William wakati Dkt. Kimei alipokuwa ziara katika matawi ya nyanda za Juu Kusini.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza (kulia picha ya juu) akizungumza na  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei na ujumbe wake walipofika kumtembelea katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri William wakati Dkt. Kimei alipokuwa ziara katika matawi ya nyanda za Juu Kusini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...