Mbunge wa Jimbo la Chumbuni, Ussi Salum Pondeza akisalimiana na Wafanyakazi wa Benki ya EXIM tawi la Zanzibar , wakati wa futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake, hafla hiyo ilifanyika Verde Hoteli iliopo Mtoni Unguja.
Caption PIC7: Wateja wa Exim Bank Zanzibar wakifuturu wakati wa futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wateja wake, hafla hiyo ilifanyika Verde Hoteli iliopo Mtoni Unguja.
Wateja wa benki ya Exim mkoani Tanga wakipata futari wakati wa halfa ya Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wao juzi katika hoteli ya Mkonge kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhan mjini Tanga.
Wateja wa benki ya Exim mkoani Mtwara wakipata futari wakati wa halfa ya Iftar iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wao juzi katika hoteli ya Naf Apartments kuwashukuru na kuamaliza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan mjini humo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...