Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa (kushoto), akimkabidhi mshindi wa Kampeni ya Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCardVisa, Gerlad Mwanilwa, Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa, akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi tiketi yake mshindi wa Kampeni ya Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa 2018 na TemboCardVisa Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mshindi wa wiki ya sita, Gerald Mwanilwa.
Mshindi wa wiki ya sita wa Kampeni ya Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa na TemboCardVisa, Gerald Mwanilwa, akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tiketi ya kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia la Fifa 2018.
Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB, Godwin Semunyu (kulia), akifafanua jambo kuhusu utaratibu wa kusafiri mshindi wa wiki ya sita wa Kampeni ya Shuhudia Kombe la Dunia la Fifa na TemboCardVisa, Gerald Mwanilwa (kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...