Kampuni ya magari ya Korea ya TATA Daewoo yazindua Truck ya kisasa inayohimili barabara zisizo na lami vijijini. Wafanyabiashara wa usafirishaji sasa kutumia gharama ndogo kuendesha biashara hiyo.
Mkuu wa usambazaji wa magari ya Daewoo Truck kwa bara la Afrika, leo Brand akizungumzia jinsi wafanyabiashara wanavyoweza kutumia magari hayo kusafirisha bidhaa za vyakula kutoka mashambani ambako barabara zake hazina lami na kumrahishia kufika sokoni kwa wakati kwa kuwa magari hayo yanahimili changamoto za barabara zisizo na lami.
Kampuni ya magari ya Korea ya TATA Daewoo yazindua Truck ya kisasa inayohimili barabara zisizo na lami vijijini. Wafanyabiashara wa usafirishaji sasa kutumia gharama ndogo kuendesha biashara hiyo.
Mtunishi misuli akionehsa umahiri wake katika fani hiyo wakati wa uzinduzi wa gari ngumu ya kubebea mizigo ya Truck Daewoo jijini Dar es Salaam.
Daewoo Truck iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...