Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo Mary Mwanjelwa, Bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Stephen Masele ambaye ni Mbunge wa Shinyanga Mjini, Bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2018.
Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba, akizungumza Bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiteta jambo na Mbunge wa Katavi, Inj. Gerson Lwenge Bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Kilindi, Omari Kigua kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Juni 12, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwanafunzi Isack Chidodolo wa shule Chinangali Sekondari Dodoma, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Juni 12, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimsikiliza Mbunge wa Moshi vijijini,Anthony Komu, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Juni 12, 2018, katikati ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mbunge wa Kasulu mjini, Daniel Nsanzugwanko, nje ya jengo la utawala Bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...