Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd, Francis Nanai (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa “Jukwaa la Fikra” litakalokuwa linakutanisha wadau wa sekta mbalimbali na wananchi ili kujadili Mada mbalimbali za Kitaifa , Kizalendo,kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa pamoja kuhusu baadhi ya matatizo na changamoto tunazokabiliana nazo kama Nchi.Kulia ni Mkurugenzi wa masoko wa Itv na Redio One, Joyce Luhanse na Mkurugenzi Mtendaji wa Itv na Redio One, Bi Joyce Mhavile.
Mkurugenzi Mtendaji wa Itv na Redio One, Bi Joyce Mhavile(kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa “Jukwaa la Fikra” litakalokuwa linakutanisha wadau wa sekta mbalimbali na wananchi ili kujadili Mada mbalimbali za Kitaifa , Kizalendo,kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa pamoja kuhusu baadhi ya matatizo na changamoto tunazokabiliana nazo kama Nchi.Kushoto ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa magazeti ya Mwananchi Communications Ltd, Bakari Machumu na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd, Francis Nanai.
Picha ya Pamoja mara baada ya uzinduzi wa “Jukwaa la Fikra” litakalokuwa linakutanisha wadau wa sekta mbalimbali na wananchi ili kujadili Mada mbalimbali za Kitaifa , Kizalendo,kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa pamoja kuhusu baadhi ya matatizo na changamoto tunazokabiliana nazo kama Nchi.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...