MEYA wa Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam Abdallah Chaurembo
amevitaka vikindu vya ujasiriamali vilivyopo ndani ya halmashauri ya
hiyo kutumia mikopo wanayopata kwa malengo ya kujikwamua kiuchumi.
Chaurembo amesema hayo leo jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi vikundi vya ujasiriamali wilayani Temeke na kukabidhi hundi ya mkopo ya Sh.6000,000 ambazo zilitolewa kwenye vikundi vitatu vya Jitihada, Ismail, pamoja na maendeleo ambao umetolewa na taasisi ya muungano wa vikundi vya vicoba Tanzania (VIGUTA)
Chaurembo amevitaka vikundi hivyo kwenda kutumia vizuri fedha hizo ili kufikia malengo yao huku akiwataka kuepuka kutumia fedha hizo kwa anasa na starehe zingine zisizonafaida.
" Tunawapongeza Viguta kwa kazi kubwa na nzuri wanayofanya kwani wamekuwa ni mkombozi kwa wajasiliamali wadogo wadogo hivyo niwaomba ndugu zangu wanavikundu mkatumie fedha hizi kwa malengo ambayo mmejiwekea,"amesema Chaurembo. Pia ameongeza kuwa mikopo hiyo wanayopewa ni ya riba nafuu hivyo kila mmoja akawe mlinzi wa mwingine ili kuhakikisha marejesho yanarejeshwa kwa wakati ili kuwezesha wengine kupata mikopo hiyo.

Meya wa Manispaa ya Temeke Abdallah Chaurembo, katikati akimkabidhi hundi ya mkopo ya shilingi milioni 6,000,000 Mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Simle Vikoba, Emaculata Mbassa (kushoto), katika uzinduzi wa vikundi vya ujasiliamali wilayani Temeke Dar es Salaam jana. ambazo zilitolewa kwenye vikundi vitatu vya Jitihada, Ismail, pamoja na maendeleo kutoka kwa taasisi ya muungano wa vikundi vya vicoba Tanzania (VIGUTA)

Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti Taifa VIGUTA Dkt. Dauda Salmin,akifafanua jambo mbele ya wana chama wa vikundi mbalimbali vya (VIGUTA) Wilayani Temeke Dar es Salaam jana,katika uzinduzi wa vikundi vya ujasilia mali.
Baadhi ya wanachama wakimsikiliza kwa makini Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti Taifa VIGUTA Dkt. Dauda Salmin,hayupo pichani katika uzinduzi vikundi vya ujasiliamali wilayani Temeke Dar es Salaam jana.
Chaurembo amesema hayo leo jijini Dar es Salaam ambapo alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi vikundi vya ujasiriamali wilayani Temeke na kukabidhi hundi ya mkopo ya Sh.6000,000 ambazo zilitolewa kwenye vikundi vitatu vya Jitihada, Ismail, pamoja na maendeleo ambao umetolewa na taasisi ya muungano wa vikundi vya vicoba Tanzania (VIGUTA)
Chaurembo amevitaka vikundi hivyo kwenda kutumia vizuri fedha hizo ili kufikia malengo yao huku akiwataka kuepuka kutumia fedha hizo kwa anasa na starehe zingine zisizonafaida.
" Tunawapongeza Viguta kwa kazi kubwa na nzuri wanayofanya kwani wamekuwa ni mkombozi kwa wajasiliamali wadogo wadogo hivyo niwaomba ndugu zangu wanavikundu mkatumie fedha hizi kwa malengo ambayo mmejiwekea,"amesema Chaurembo. Pia ameongeza kuwa mikopo hiyo wanayopewa ni ya riba nafuu hivyo kila mmoja akawe mlinzi wa mwingine ili kuhakikisha marejesho yanarejeshwa kwa wakati ili kuwezesha wengine kupata mikopo hiyo.
Meya wa Manispaa ya Temeke Abdallah Chaurembo, katikati akimkabidhi hundi ya mkopo ya shilingi milioni 6,000,000 Mwenyekiti wa kikundi cha ujasiliamali cha Simle Vikoba, Emaculata Mbassa (kushoto), katika uzinduzi wa vikundi vya ujasiliamali wilayani Temeke Dar es Salaam jana. ambazo zilitolewa kwenye vikundi vitatu vya Jitihada, Ismail, pamoja na maendeleo kutoka kwa taasisi ya muungano wa vikundi vya vicoba Tanzania (VIGUTA)
Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti Taifa VIGUTA Dkt. Dauda Salmin,akifafanua jambo mbele ya wana chama wa vikundi mbalimbali vya (VIGUTA) Wilayani Temeke Dar es Salaam jana,katika uzinduzi wa vikundi vya ujasilia mali.
Baadhi ya wanachama wakimsikiliza kwa makini Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti Taifa VIGUTA Dkt. Dauda Salmin,hayupo pichani katika uzinduzi vikundi vya ujasiliamali wilayani Temeke Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...