Afisa Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC  Bw. Augustino Sanga akiongea na mmoja ya Wateja waliofika katika banda la NHC katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendlea Jijini Dar es Salaam.
 Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa  Bi. Aika Benson akitoa maelezo kwa mmoja wa wateja waliofika katika banada la NHC
 Afisa Masoko Bw. Wistone Sanga akitoa maelezo kwa mteja aliyefika katika banda la shirika hilo kwenye viwanja vya Maonesho Sabasaba.
Banda la Shirika la Nyumba la Taifa NHC  Kama linavyoonekana kwa nje katika Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...