WAZIRI wa Viwanda na Uwekezaji , Charles Mwijage (wa pili kushoto), akipata maelezo  kutoka kwa Mtafiti Msaidizi  wa  Kampuni ya Camartec ya Arusha,  Mhandisi  Noela  Byabachwezi kuhusu zana za kilimo zinazotengenezwa na    kampuni hiyo, katika viwanja vya Maonyesho ya  42 ya Biashara ya Kimataifa, yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere,  Dar es Salaam, jana.Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Biashara ya Kimataifa Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutageruka
 .Meneja  Biashara wa Kampuni ya Tigo, Wande Shisael, akiongea na waandishi wa habari, kuhusu kampuni hiyo kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya  Biashara ya Kimataifa Tanzania (TANRADE) kuandaa maonyesho  42 ya  kimataifa ya Biashara iashara maarufu kama Sabasaba, yanayofanyika kiatika viwanja vya  maonyesho vya  Mwalimu Julius Nyerere, , Dar es Salaam, jana. Kushoto ni  Meneja  Ukuzaji Biashara  wa TANTRADE, Stephrn Koberou.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Dr.Mathias  Lugoye, (kulia) akiwapa maelezo wananchi waliotembelea banda la chuo hicho,  katika Maonyesho ya Kimataifa ya 42 ya Biashara, yanayofanyika katika Viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, jana, kuhusu teknolojia  ya usindikaji bidhaa inayobuniwa na chuo hicho.
 Meneja wa Mawasiliano wa VETA, Sitta Peter akitoa maelezo kwa wananchi wanaotembelea Maonyesho ya Kimataifa ya 42 ya Biashara, yanayofanyika katika Viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam, , kuhusu nafunzo ya ufundi yanazalishwa na VETA
 Wananchi wakipata maelezo kuhusiana na ufundi mbalimbali unaotolewa na vyuo vya VETA. Picha na Chalila Kibuda wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...