Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 fisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA – OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...