Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agha Khan Tanzania, Balozi Amin Kurji alipomtembelea leo tarehe 25 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agha Khan Tanzania, Balozi Amin Kurji alipomtembelea leo tarehe 25 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agha khan Tanzania ulioongozwa na Mwakilishi Mkazi wa Mtandao huo, Balozi Amin Kurji (kushoto kwake) walipomtembelea leo tarehe 25 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agha Khan Tanzania, Balozi Amin Kurji alipomtembelea leo tarehe 25 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...