Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipewa tuzo ya Balozi wa amani na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson  (kushoto) akipewa tuzo ya Balozi wa amani na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge (hawapo kwenye picha) wakati wa hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto), Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Katibu Mkuu wa Chama cha Wapenda amani Duniani Afrika, Ndg. Adama Doumbia wakifuatilia video inayoelezea mambo mbali mbali yanayohusiana na amani katika tukio lililofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwa katika hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Hafla hiyo Ilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (watatu kushoto), Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (watatu kulia), Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh (wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (katikati) akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Kimataifa wa Wabunge wapenda amani, Dkt. Thomas Walsh (kushoto) baada ya hafla ya kuzindua tawi la Wabunge wapenda amani iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...