Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani mkoa wa RUVUMA kimejipanga kikamilifu katika kuhakikisha madereva wanaoendesha vyombo vya moto vyenye miguu miwili maarufu kama bodaboda wanafuata sheria,ikiwemo kuwa na leseni pamoja na kuvaa kofia ngumu pamoja na abiriwa wake.
Hayo yamebainishwa na maratibu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa RUVUMA SALUMU MORIMORI wakati akitoa elimu kwa baadhi ya madereva bodaboda mjini SONGEA.
Home
HABARI
MICHUZI TV
VIDEO: MADEREVA WASIO NA LESENI MKOA WA RUVUMA KUCHUKULIWA HATUA KALI ZA KISHERIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...