Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akigonganisha glasi kumtakia afya njema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli na Mtukufu Agakhan, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. Kushoto ni Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai na katikati ni   Mwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agakhan (AKDN) Amin Kurji. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa na Bw. Mehboob Chamsi pochi iliyotengenezwa Tanzania, katika  sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia shati lililotengenezwa Tanzania, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma, kutoka kushoto ni Muwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agakhan (AKDN) Amin Kurji akifuatiwa na Bw. Mehboob Chamsi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...