Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu, Bibi Winifrida Rutaindurwa (katikati) akifuatilia mafunzo ya mfumo wa ofisi mtandao yaliyofanyika katika ukumbi wa Tume ya Utumishi wa Walimu jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi wa Ajira na Maendeleo ya Walimu, Bibi Christina Hape na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Nidhamu na Maadili ya Walimu.
  Mkuu wa Kitengo cha TEHEMA Bibi, Devota Gabriel akitoa maelezo kwa wajumbe waliohudhuria mafunzo ya mfumo wa Ofisi Mtandao.
 Mwezeshaji wa Mafunzo ya mfumo wa Ofisi Mtandandao kutoka Wakala ya Serikali Mtandao, Bw. Simba Hussein akielezea matumizi ya mfumo huo.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Ajira na Maendeleo ya Walimu, Bibi. Mectildis Kapinga (wa kwanza kushoto) akifuatilia mafunzo ya Ofisi Mtandao. Wa pili (kutoka kushoto) ni Mkuu wa Kitengo cha Mipango na Ufuatiliaji, Bw. Elia Malaki, akifuatiwa na Afisa Utumishi Mwandamizi, Bibi Shani Kamala na pembeni ni Afisa Utumishi Bw. David Igogo.
 Baadhi ya wajumbe wakifuatilia mafunzo ya Ofisi Mtandao katika ukumbi wa ofisi za Tume ya Utumishi wa Walimu Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...