Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akionesha mkoba wenye Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 wakati alipowasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi ‘B’ jana.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akisoma hutuba ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Chukwani Wilaya ya Magharibi ‘B’ jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...