Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akionesha mkoba wenye Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 wakati alipowasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi ‘B’ jana.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN). 
 Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akisoma hutuba ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Chukwani Wilaya ya Magharibi ‘B’ jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...