Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akizungumza katika hafla
ya jioni aliyowaandaliwa wateja mashuhuri wa Benki ya CRDB wa klabu ya
Viva, iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye tawi Viva Premier, jijini
Dar es salaam.
Meneja
wa Benki ya CRDB tawi la Viva Premier, Naomy Mwamfupe akizungumza jambo
wakati akitoa taarifa ya Tawi hilo kwa wateja mashuhuri wa Benki ya
CRDB wa klabu ya Viva, katika hafla ya jioni iliyofanyika mwishoni mwa
wiki kwenye tawi hilo, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akifyrahi jambo na Mzee
Daniel Ole Njolaay (kulia) pamoja na Mzee Christopher Mwita Gachuma
katika hafla iliyoandaliwa maalum kwa wateja mashuhuri wa Benki
ya CRDB wa klabu ya Viva, iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye tawi
hilo, jijini Dar es salaam.
Manaibu
Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kulia) na Dorah
Ngaliga wakifurahi jambo katika hafla ya jioni iliyoandaliwa maalum kwa
wateja mashuhuri wa Benki ya CRDB wa klabu ya Viva, iliyofanyika
mwishoni mwa wiki kwenye tawi hilo, jijini Dar es salaam.
Sehemu ya Wateja wa Benki ya CRDB tawi la Viva wakiwa kwenye hafla hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...